MUONEKANO WA BARABARA YA SHEKILANGO.

Awamu ya Tano ya Rais Dkt. John Pombe Magufuli imewezesha ujenzi wa Barabara ya Shekilango yenye urefu wa km 3.7 iliyojengwa kwa njia 4, ikiwa na Upana wa mita 22, njia za watembea kwa miguu, taa za kisasa, mitaro ya maji na Bustani ili kupunguza msongamano wa magari kuanzia maungio ya Barabara ya Morogoro na